Mwanafunzi wa Kidato cha Pili Ajifungua Ndani ya Daladala Baada ya Kumeza Dawa za Kutoa Mimba
alijaribu kunywa dawa ya kutoa mimba mambo ndo yakawa hivo....yaani alivyovaa shungi sidhani kama mzazi wake ataamini....hivi nini kifanyike ili utapaji mimba kwa wanafunzi upungue/uishe....elimu ya mapenzi salama ifundishwe shule au wazazi wawe wawazi kwa watoto zao kuwaeleza njia salama za kufanya mapenzi maana KUMKATAZA haiwezekani maana inaonekana imeshindikana!
Chanzo:Usipojipangantakupanga
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.